Friday, March 21, 2014

1. Rais Kikwete leo Ndani ya Bunge la katiba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ametulia ndani ya ndege akisafiri kutoka Dar es salaam kuelekea Dodoma  huku  akiifanyia kazi hotuba yake ambayo ataitoa katika Kikao cha Bunge Maalum la Katiba, Ijumaa y leo, Machi 21, 2014.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amealikwa kuwa mgeni rasmi na kuhutubia Bunge Maalum la Katiba kwa mujibu wa Kanuni 7(1)g na Kanuni 75(1) la  ya Kanuni za Bunge Maalum. Picha kwa hisani ya IKULU.
 

2. Ray C abambwa Hospitali ya M'Nyamala

Mwimbaji Ray C maarufu "Kiuno Bila Mfupa" akielekea kwenye gari lake mara baada ya kupata dozi yake ya dawa ya kuondoa sumu ya madawa ya kulevya
 Kikosi Kazi cha  Global Publishers, kimefanikisha zoezi la kumnasa laivu Mbongo-Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akizama na kuchukua dozi ya dawa za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya ‘unga’ mwilini iitwayo dawa aina ya Methadone , Amani lina tukio kamili.
Kazi hiyo nyingine nzuri kwa OFM ilifanyika juzi (Jumanne), majira ya saa 3:30 asubuhi ndani ya Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar ambapo staa huyo almaarufu Kiuno Bila Mfupa alifika eneo hilo kwa ajili ya kuchukua dozi hiyo.

3.Updates of missing Malaysia Airline




"The Malaysian prime minister has confirmed that there is a new lead in the investigation into the missing Malaysia Airlines flight MH370.
Australian search aircraft are investigating two objects spotted by satellite floating in the southern Indian Ocean that could be debris from a Malaysian jetliner missing with 239 people on board, Prime Minister Tony Abbott said on Thursday.

"I can confirm we have a new lead," Malaysian Transport Minister Hishammuddin Hussein told reporters in Kuala Lumpur, where the investigation into the missing airliner is based.

"I am meeting the Australian delegation now," he added. We are waiting for some information."

4. Pictorius ilimbidi auze nyumba yake ili aweze lipia gharama za kesi

 pistorious     Oscar Pistorius and his girlfriend Reeva Steenkamp pose for a picture in Johannesburg

 Mwanariadha huyo mwenye ulemvu wa miguu amekubali kumpiga risasi mwanamke huyo aliefariki akiwa na umri wa miaka 29 lakini amekataa tuhuma za mauaji hayo akisisitiza alikosea na kudhani amevamiwa nyumbani kwake.
Habari kamili Bonyeza hapa

 

No comments:

Post a Comment