Je ni lazima mwanamume kuomba ruhusa ili kuoa mke wa pili?
Bunge la Kenya lenye wabunge
wengi wanaume limeidhinisha mageuzi yenye utata katika mswada wa ndoa
ambayo yatawapa wanaume usemi zaidi katika familia na uhusiano mwingine
katika jamii.
Wabunge wanaume waliungana kupitisha mageuzi hayo ambayo yataathiri pakubwa familia kwa ujumla